Breaking

Sunday, 19 October 2025

NAFASI ZA KAZI | MWALIMU DARAJA LA III C - SOMO LA LISHE (FOOD AND HUMAN NUTRITION) | 30+ Position


MWAJIRI: MDAs & LGAs
37 Positions
Application Period: 18/10/2025 - 01/11/2025
Duties and Responsibilities

i. Kuandaa azimio la kazi, maandalio ya masomo, nukuu za masomo na Mpangowa Kazi wa majukumu mengine aliyokabidhiwa;

ii. KutengenezanaKufaraghuazanazakufundishiana kujifunzia;

iii. Kufundisha,kufanyaTathmininakutunzakumbukumbuzaMaendeleoya Wanafunzi;

iv. KusimamianakufuatiliamahudhurioyawanafunziShulenina Darasani;

v. Kusimamia malezi ya wanafunzi Kiakili, Kimwili, Kiroho na kutoa ushauri nasaha na unasihi;

vi. KutoaushauriwaKitaalamunakutaalumakuhusumaendeleoya Elimu;

vii. Kusimamianautunzajiwavifaanamaliza Shule;

viii. KazinyingineatakazopangwanaMkuuwaShulekulingananamajukumuya Shule

Qualifications

Kuajiriwa mwenye Shahada ya Elimu (Bachelor with Education) au Shahada ya Ualimu (Bachelor of Education) yenye somo la kufundishia la Home Economics isiyo ya Ualimu/Elimu yenye somo la kufundishia la Home Economics pamoja na Stashahada ya Uzamili ya Elimu (Postgraduate Diploma in Education) kutoka Vyuo vya Elimu ya Juu vinavyotambulika na Serikali.

To Apply Click Here


No comments:

Post a Comment