Welcome to JIHUDUMIESCHOOL, your digital gateway to a world of knowledge and imagination. "Education is the most powerful weapon which you can use to change the world." — Nelson Mandela
Read More ...Thursday, 6 November 2025
Wednesday, 5 November 2025
MATOKEO DARASA LA SABA 2025 YAMETOKA RASMI
Kama tulivyowaambia hapo mwanzoni — hatimaye matokeo ya darasa la saba 2025 yametoka rasmi leo! 🎉
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA
PSLE-2025 EXAMINATION RESULTS
CHAGUA MKOA KUONA SHULE YAKO
Wanafunzi wa darasa la saba nchini Tanzania walifanya mitihani yao ya taifa (PSLE) mwezi Septemba 2025 chini ya usimamizi wa Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), na sasa ni wakati wa kujua matokeo rasmi ya juhudi zao.
Sunday, 26 October 2025
🧮 Chakata Matokeo kwa Ufanisi kwa Kutumia Mifumo ya JihudumieSchool.com — BUREEEE!
Kila mwisho wa muhula au mwaka wa masomo, changamoto kubwa kwa shule nyingi ni uchambuzi wa matokeo ya wanafunzi.
Lakini sasa, mambo yamekuwa rahisi zaidi! 🙌
Kupitia JihudumieSchool.com, unaweza kuchakata na kuchambua matokeo ya wanafunzi wako bila gharama yoyote — iwe uko online au offline.
🌐 Mifumo Inayopatikana
JihudumieSchool.com inatoa mifumo miwili yenye ufanisi kulingana na mazingira yako:
-
💻 Mfumo wa Online: Tumia moja kwa moja kupitia tovuti bila kujisumbua na usakinishaji (installation).
-
🖥️ Mfumo wa Offline: Unafanya kazi bila intaneti — bora kwa shule zenye changamoto za mtandao.
📊 Faida Kuu za Mifumo ya JihudumieSchool.com
Kwa kutumia mifumo hii, unaweza kupata uchambuzi kamili wa matokeo kwa urahisi na haraka. Baadhi ya taarifa unazoweza kupata ni:
-
📈 Uchambuzi wa ufaulu kwa divisheni (wavulana na wasichana)
-
🏅 Orodha ya Best 10 na Last 10 candidates kwa darasa au shule
-
📚 Uchanganuzi wa ufaulu wa kila somo (kubaini masomo yenye changamoto au mafanikio zaidi)
-
🧾 Ripoti zenye muonekano wa kitaalamu, zinazoweza kuchapishwa au kushirikiwa kwa urahisi
-
⚡ Usahihi wa haraka — mfumo unakupa matokeo ya takwimu ndani ya sekunde chache!
🧠 Kwa Nini Utumie JihudumieSchool.com?
-
Ni bure kabisa (bila ripoti) — hakuna ada ya usajili wala matumizi.
-
Inarahisisha kazi za walimu, wakuu wa shule, na maafisa elimu.
-
Inaokoa muda, inapunguza makosa, na inaongeza ufanisi katika uchambuzi wa matokeo.
-
Inapatikana wakati wowote, mahali popote.
🚀 Anza Sasa!
Usikose fursa hii ya kuboresha mfumo wa uchambuzi wa matokeo katika shule yako.
Tembelea tovuti rasmi:
👉 www.jihudumieschool.com
Fanya uchambuzi wa matokeo kwa ufanisi, kwa haraka, na kwa usahihi — bureeee! 🎉
Mifumo Mingine tuliyonayo
PAKUA MFUMO HAPA | DOWNLOAD THE TEMPLATE HERE🧩 Mifumo Mingine Tunayo
Pamoja na huduma zilizoelezwa awali, tunatoa mifumo mbalimbali inayokidhi mahitaji tofauti ya shule, taasisi na biashara.
- 💳 Mfumo wa Ukusanyaji wa Ada & Malipo — usimamizi wa ada, risiti za malipo, malipo ya online na offline, na taarifa za fedha kwa urahisi.
- 🏫 Mifumo mipya ya Shule za Amali & Vyuo vya Ufundi — enrollments, modules, timetable za mazoezi, na tracking ya maendeleo ya wanafunzi wa vitendo.
- 🧩 Mifumo ya Shule Nyingi (Multi-school) — inafaa kwa mock exams, joint exams, Pre-NECTA na mipango ya usimamizi wa shule nyingi chini ya mfumo mmoja.
- 📚 Mfumo wa Ufuatiliaji wa Ufundishaji (Teaching Tracker) — online ambapo kila mwalimu anaweza ku-update taarifa za masomo, na habari inafika AEK/AE au mamlaka husika kwa wakati.
- 📦 Mifumo ya Biashara (Stock Control / CMS) — usimamizi wa bidhaa, hesabu za stock, na CMS ya bidhaa/ huduma kwa ajili ya maduka ya shule au vyuo.
- 🔧 Na mengi zaidi... — tunaweza kubuni au kubadilisha mfumo kulingana na mahitaji yako maalum.
Simu: +255 684 368 709
Email: itugnabiol@gmail.com
Friday, 24 October 2025
MATOKEO DARASA LA SABA 2025 HAYA HAPA
Wanafunzi wa darasa la saba nchini Tanzania wamefanya mitihani yao ya taifa (PSLE) mwezi Septemba 2025, chini ya usimamizi wa Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA). Sasa wazazi, walimu na wanafunzi wengi wanajiuliza — matokeo yatatoka lini?
Kwa kawaida, matokeo ya darasa la saba hutangazwa kati ya wiki 6 hadi 8 baada ya mtihani kumalizika, hivyo kwa mwaka huu 2025 yanatarajiwa kutoka kati ya mwishoni mwa Oktoba hadi katikati ya Novemba 2025.
🔹 Jinsi ya Kuangalia Matokeo
Matokeo yatakapokuwa yametangazwa, unaweza kuyapata kwa urahisi kupitia:
-
🌐 Tovuti rasmi ya NECTA: https://www.necta.go.tz
-
📱 Kupitia tovuti yetu: https://www.jihudumieschool.com – tutakuwekea link ya moja kwa moja ya matokeo mara tu yatakapotoka.
-
💬 Kwa baadhi ya shule, matokeo pia huwekwa kwenye mbao za matangazo au tovuti za shule husika.
🔹 Mambo ya Kukumbuka
-
Hakikisha unajua namba ya mtihani (Candidate Number) ya mwanafunzi.
-
Matokeo yanaonyesha alama za kila somo, pamoja na nafasi ya ufaulu (A, B, C, D, E).
-
Wale watakaofaulu watapangiwa shule za sekondari za serikali, na majina yao yatatolewa kwenye orodha ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza 2026.
📢 Usikose Taarifa Mpya!
Endelea kufuatilia JIHUDUMIESCHOOL.COM kwa taarifa sahihi na za haraka kuhusu:
-
Matokeo ya Darasa la Saba 2025
-
Orodha ya waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza 2026
-
Ratiba mpya za masomo na mitihani
Past Papers and notes za kila somo kuanzia primary hadi secondary, etc
🗓️ Kumbuka: Tutakupa link rasmi ya matokeo mara tu NECTA watakapotangaza rasmi.
📍Tembelea kila siku: www.jihudumieschool.com
Sunday, 19 October 2025
Search
ADVERT
JOIN OUR WHATSAPP PLATFORM
BIBLE VERSES
COUNTRIES CURRICULUM
THE WORD OF THANKS
🙏 A Heartfelt Thank You to Our Contributors
We sincerely appreciate all individuals, teachers, and education enthusiasts who generously share past papers with us to support students across the country. Your efforts are making a real difference in education and academic success.
As a token of our gratitude, we will be mentioning your names and brief bios in all relevant posts where your contributions are featured. This is our way of recognizing and honoring your valuable support.
If you would also like to contribute and share exam papers with us, please don’t hesitate to reach out. Your help is always welcome and deeply appreciated.
📲 Contact Us on WhatsApp
You can easily get in touch with us via WhatsApp by clicking the button below:
📩 Share Papers via WhatsApp
MOST READ POSTS
-
Kama tulivyowaambia hapo mwanzoni — hatimaye matokeo ya darasa la saba 2025 yametoka rasmi leo! 🎉 NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZAN...
-
Kila mwisho wa muhula au mwaka wa masomo, changamoto kubwa kwa shule nyingi ni uchambuzi wa matokeo ya wanafunzi. Lakini sasa, mambo yam...
-
NECTA past papers in Tanzania are invaluable resources for students preparing for national examinations. These papers, compiled by the Natio...
-
Form Two TIE Books 2026 📚 Form Two New Syllabus Books (2024/2025) The Tanzania Institute of Education (TIE) has released ne...
-
Students need past papers because they are essential tools for effective exam preparation, helping them familiarize themselves with the exam...
-
The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) was established under the Parliamentary Act No. 21 of 1973 with the responsibility of ...
Contact Form
Tags
📣 Support Our Website
Enjoying our free content? Please help us grow by sharing.
It only takes a second! to share


