Breaking

Wednesday, 18 December 2024

Form One Selection 2025 – Majina ya waliochaguliwa Kidato Cha Kwanza 2025

OFISI YA RAIS - TAMISEMI

UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025


BOFYA HAPA KUONA ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPANGWA KWENDA SHULE MOJA

CHAGUA MKOA ULIKOSOMA

ARUSHA

GEITA

KATAVI

LINDI

MBEYA

MWANZA

RUKWA

SIMIYU

TABORA

DAR ES SALAAM

IRINGA

KIGOMA

MANYARA

MOROGORO

NJOMBE

RUVUMA

SINGIDA

TANGA

DODOMA

KAGERA

KILIMANJARO

MARA

MTWARA

PWANI

SHINYANGA

SONGWE

Kila mwishoni mwa mwaka, mara baada ya matokeo ya mtihani wa darasa la saba kutangazwa, NECTA kwa kushirikiana na TAMISEMI huendesha mchakato wa kuchagua wanafunzi watakaojiunga na kidato cha kwanza kwa mwaka 2025. Mchakato huu unazingatia ufaulu wa wanafunzi kwenye mtihani wa kumaliza elimu ya msingi (PSLE) na nafasi zilizopo katika shule za sekondari za serikali. Wanafunzi waliofaulu vizuri hupangiwa shule kulingana na alama walizopata, huku NECTA na TAMISEMI wakihakikisha kila mwanafunzi aliyefaulu anapata nafasi ya kuendelea na masomo.



1. Mchakato wa Uchaguzi wa Kidato cha Kwanza na Vigezo Vilivyotumika

Uchaguzi wa wanafunzi kujiunga na kidato cha kwanza 2025 umezingatia kigezo cha ufaulu wa mtihani wa PSLE wa mwaka 2024. 

2. Jinsi ya Kuangalia Majina ya Wanafunzi Waliochaguliwa

Ili kujua shule aliyopangiwa mwanafunzi selection itakapotangazwa na serikali

  1. Tembelea tovuti ya TAMISEMIwww.tamisemi.go.tz.
  2. Tafuta sehemu ya ‘Matangazo’: Bofya kiungo cha "UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2025."
  3. Chagua mkoa wako: Orodha ya mikoa yote itaonekana, chagua mkoa husika.
  4. Chagua Halmashauri na shule: Fuata hatua hizi hadi upate shule aliyofanyia mtihani.
  5. Tafuta jina la mwanafunzi: Tumia kipengele cha ‘search’ ili kutafuta jina haraka.
  6. Pakua PDF: Hifadhi orodha hiyo kwa matumizi ya baadaye.

3. Orodha ya Majina ya Wanafunzi Kimkoa

Baada ya TAMISEMI kutangaza majina, orodha kamili imepangwa kwa mikoa na inapatikana kwenye tovuti rasmi. Wazazi na walezi wanaweza kupakua majina kwa kubofya kiungo cha mkoa husika.

Kwa maelezo zaidi na maboresho ya utaratibu, tembelea tovuti ya TAMISEMI mara kwa mara ili kuwa na taarifa sahihi na za kisasa.





GET MORE PAST PAPERS WITH MARKING SCHEMES HERE
Get hired here Vacancies
GET THE MARKING SCHEMES FROM THE GROUPS BELOW

No comments:

Post a Comment