Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya MDAs & LGAs anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 23/10/2024 hadi 16/11/2024 hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo.
GET MORE PAST PAPERS WITH MARKING SCHEMES HERE
Get hired here Vacancies
GET THE MARKING SCHEMES FROM THE GROUPS BELOW
No comments:
Post a Comment